Showing posts with label SIASA. Show all posts
Showing posts with label SIASA. Show all posts

Monday, 21 March 2016

Dk. Shein Awa Rais wa Zanzibar.

Katika uchaguzi wa marudio ulifanyika visiwani Zanzibar hapo jana March 20, 2016, Mgombea wa kiti cha uraisi kupitia CCM Dk. Ali Mohammed Shein ameshinda nafasi ya Urais kwa kura 299, 982 sawa na asilimia 91.4 ya kura halali 328, 327 .
Matokeo hayo ya uchaguzi yametangazwa hivi leo na mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Jecha Salim Jecha
Uchaguzi huo umefanyika baada ya Kufutwa kwa uchaguzi wa mwanzo ulofanyika Oct.25, 2015 kwa kile kilichodhaniwa na Kiongozi wa Tume ya uchaguzi Zanzibar, Jecha kuwa ni ukiukwaji mkubwa wa taratibu za uchaguzi huo.
Tazama video hapa chini Jecha akitangaza matokeo ya uchaguzi Zanzibar.

Friday, 22 January 2016

Jecha Atangaza Tarehe ya Uchaguzi wa Marudio Zanziber

Mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC) ametangaza tarehe 20 March kuwa ndio siku ya Uchaguzi wa marudio Zanzibar. 
Jecha alise,ma kuwa uchaguzi huo utahusisha Rais wa Zanzibar, wajumbe wa baraza la wawakilishi pamoja na adiwani.
Hapo mwanzo jecha litangaza kufutwa kwa matokeo ya uchacuzi Zanzibar kutokana na kasoro mbalimbali zilizojitokeza katika uchaguzi huo wa October 25. Hata hivyo mwenyekiti huyo hakutaja ni kifungu gani cha sharia kilicho mruhusu kutangaza uchaguzi uo wa marudio.
Ni siku takribani 90 zimepita tangu kufutwa kwa uchaguzi Zanzibar October 28, mwaka jana, taratibu za kufuta uchaguzi huo zilihusisha wagombea wote wawili wa urais, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein pamoja na katibu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad.
Tayari Maalim Seif ameshajitoa kwenye mazungumzo hayo yaliyohusisha vikao tisa. Nae Naibu katibu wa CUF Bara, Magdallena Sakaya hakuwa tayari kuzuzngumzia suala hilo kwakuwa alichelewa kupata Taarifa hizo.

Friday, 15 January 2016

Lowassa: Najiandaa kwa Uchaguzi 2020

Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa amesema kuwea yuko tayari kwa mara nyingine tena kugombea urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020. Maneno haya aliyasema wakati akizungumza na jopo la wafanya biashara wakuu Kariakoo jijini Dar es Salaam walio kwenda kumtembelea ofisini kwake.
Lowassa ambae alileta upinzani mkubwa kwenye uchaguzi mkuu mwaka jana baada ya kuhamia CHADEMA  alipata kura za wananchi 6 mil. alisema  kuwa maadnalizi ya uchaguzi ya uchagui meingine yameshaanza na akawataka wafuasi wake kutokata tama.
"Niko salama, niko fit na nina morali" alisema Lowassa baada ya wapinzani wake kutoka Chama Cha Mapinduzi CCM. kudai kuwa anamatatizo ya kiafya.
Aliendelea kusema kuwa hato kata tama na ataendelea kugombea kwa kuwa watu wananmpenda.
akisema kuwa katiba ilikua mbaya ndio maana aliamua kukaa kimya ilikuleta usalama ndani ya nchi angeamua kupinga matokeo hayo basi watu wange chinjana na wengine kupoteza maisha na hata maafa yangetokea.
Taarifa zaidi>>>>MWANANCHI

Wednesday, 16 December 2015

Kubenea Apandishwa Kortini

Mbunge wa jimbo la Ubungo Saed Kubenea amepandishwa kizimnani katika mahakama ya Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam hapo jana  Kwa tuhuyma za kutumia lugha chafu dhidi ya mbunge wa Kinondonii Paul Makonda.
Kubenea akitetewa na Mawakili sita alikataa tuhuma hizo dhidi yake ya kwamba alimwita Makonda kuwa "wewe ni mpumbavu, mjinga, " . Kubenea alipewa dhamana na kuachiwa huru na kesi hiyo imeahirishwa mpakia Dec. 29.

Thursday, 10 December 2015

Magafuli Atangaza Baraza la Mawaziri

Rais w Jamhuri ya Muunano wa Tanzana Dr. Magfuli Ameteua rasmi  Baraza jipya la Mawaziri Hivi Leo jijini Dar es Salaam.
Tizaama Video hii wakati Magufuli akiteua araza La Mwwaziri.

Itazame Orodha nzima ya Mawari.
 

Baraza la Mawaziri





 

Tuesday, 3 November 2015

Tb Joshua Ametua Jijini Dar es salama Kushudua Kuapishwa kwa Rais Mteule hapo Alhamis Tareh. 05 Nov.

Mhubiri na nabii TB Joshua wa Kanisa la Church of All Nation ametua jijini Dar Es Salaam hivi leo Kwa ajili Ya Kushuhudia kuapishwa kwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hapo Alhamis Tareh. 05.

Alipo tua kutoka kwenye uwanja wa ngege wa Mwalimu Julious Nyerere alikwenda moja kwa moja mpaka ikulu kumsalimiaRais Kikwete na kumpongeza kwa kufanikisha uchaguzi kwa uhuru na amanni, pia Tb Joshua amempongeza Kikwete kwa uongozi wake ns kwa kumpata mrithi wake Dr.John Pombe Magufuli.

Tb Joshua atakuwepo Jijini Dar es Salaama akishuhudia kuapishwa kwa Rais mteule hapo tareh. 05.Nov. mwaka huu.

Friday, 30 October 2015

Dr. John Pombe Magufuli Amemekabidhiwa Cheti cha Ushindi na Mwenyeketi wa Tume ya Uchaguzi NEC..

Baada ya Uchaguzi Mkuu Kukamilika nchini Tanzania tume ya uchaguzi NEC chini ya kiongozi wao Damian Lubuva Dr. Magufuli alitangazwa rasmi kama Rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambapo alishinda kwa kura 8,80935 ikiwa sawa na asilimia 58.47.
Siku ya Leo rais huyo mteule Dr. Magufuli  akiwa pamoja na mgombea mwenza Samia Suluhu Hassan ambe ndie atakae kuwa makamu wa rais wamelikabidhiwa rasmi vyeti vya ushindi na Jaji Mastaafu Damian Lubuva ambae ni mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi NEC baada ya kupata ushindi katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oct.25.

Makabidhiano hayo yalifanyika katika ukumbi wa Damond Jubelee ulioko eneo la Upanga jijini Dar es Salaam. Na baaada ya kukabidhiwa vyeti hivyo walielekea kaitika ofisi ndogo ya Chama cha Mapinduzi ilioko eneo la lumumba.


Tume ya uchaguzi NEC ilimtangaza Dr. Magufuli kama mshindi wa Uchaguzi mkuu uliofanyika hapo Jumapili ambapo alishinda kwa kura 8.882,935  ikiwa sawa na asilimia 58.46.
Huku mpinzani wake wa karibu Edward Lowassa akishinda kwa kura 6,072,848 ikiwa sawa na asilimia 39.97.

Baada ya kutangazwa kwa matokeo hayo Mh.Edward Lowassa alipinga matokeo hayo na hakukubaliana na nayo na kusema kuwa ameibiwa kura na kwamba yeye ndiye mshindi katika uchaguzi huo.

Hatimae Dr.John Pombe Magufuli Atangazwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

Dr. John Pombe Maghufuli ametangazwa rasmi kuwa Rais mteule wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania baada ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania kukamilika hapo jana.
Akitangazwa hapo jana Jaji mstaafu Damiani Lubuva kama mwenyekiti wa tume ya uchaguzi NEC amemtangaza Dr. Maghufuli kamamshini katika uchaguzi huo, akiwa ameshinda kwa kura 8, 802,935 ikiwa sawa na 58.46%  huku mpinzan wake akiambulia kura 6,072,848 ikiwa sawa na 39.97%.

Monday, 12 October 2015

Waziri Abdallah Kigoda Amefariki Dunia Akiwa Nchini India.. R.I.P

Aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara hapa nchini Dk. Abdallah Kigoda amefariki dunia akiwa India kwenye matibabu
Hapo mwanzo taarifa juu ya  hali ya kiafya ya waziri Abdallah Kigoda zilisambaa mtiandaoni lakini zilikanushwa na serikali na kusema kuwa waziri huyo alikuwa mzima  na anatibiwa India na hajafariki.
lakini taarifazilizotufikia na zilizothibitishwa na serikali  ni kwamba Waziri Dr. Abdallah Kigoda amefariki akiwa India.
Kigoda alikuwa waziri wa viwanda na Biashara na pia aliwahi kuwa mbunge wa jimbo la Handeni Tanga kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM.