Friday 15 January 2016

Lowassa: Najiandaa kwa Uchaguzi 2020

Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa amesema kuwea yuko tayari kwa mara nyingine tena kugombea urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020. Maneno haya aliyasema wakati akizungumza na jopo la wafanya biashara wakuu Kariakoo jijini Dar es Salaam walio kwenda kumtembelea ofisini kwake.
Lowassa ambae alileta upinzani mkubwa kwenye uchaguzi mkuu mwaka jana baada ya kuhamia CHADEMA  alipata kura za wananchi 6 mil. alisema  kuwa maadnalizi ya uchaguzi ya uchagui meingine yameshaanza na akawataka wafuasi wake kutokata tama.
"Niko salama, niko fit na nina morali" alisema Lowassa baada ya wapinzani wake kutoka Chama Cha Mapinduzi CCM. kudai kuwa anamatatizo ya kiafya.
Aliendelea kusema kuwa hato kata tama na ataendelea kugombea kwa kuwa watu wananmpenda.
akisema kuwa katiba ilikua mbaya ndio maana aliamua kukaa kimya ilikuleta usalama ndani ya nchi angeamua kupinga matokeo hayo basi watu wange chinjana na wengine kupoteza maisha na hata maafa yangetokea.
Taarifa zaidi>>>>MWANANCHI

Related Posts

Lowassa: Najiandaa kwa Uchaguzi 2020
4/ 5
Oleh
Show Comments: OR