Tuesday 3 November 2015

Tb Joshua Ametua Jijini Dar es salama Kushudua Kuapishwa kwa Rais Mteule hapo Alhamis Tareh. 05 Nov.

Mhubiri na nabii TB Joshua wa Kanisa la Church of All Nation ametua jijini Dar Es Salaam hivi leo Kwa ajili Ya Kushuhudia kuapishwa kwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hapo Alhamis Tareh. 05.

Alipo tua kutoka kwenye uwanja wa ngege wa Mwalimu Julious Nyerere alikwenda moja kwa moja mpaka ikulu kumsalimiaRais Kikwete na kumpongeza kwa kufanikisha uchaguzi kwa uhuru na amanni, pia Tb Joshua amempongeza Kikwete kwa uongozi wake ns kwa kumpata mrithi wake Dr.John Pombe Magufuli.

Tb Joshua atakuwepo Jijini Dar es Salaama akishuhudia kuapishwa kwa Rais mteule hapo tareh. 05.Nov. mwaka huu.

Related Posts

Tb Joshua Ametua Jijini Dar es salama Kushudua Kuapishwa kwa Rais Mteule hapo Alhamis Tareh. 05 Nov.
4/ 5
Oleh
Show Comments: OR