Wednesday 16 December 2015

Kubenea Apandishwa Kortini

Mbunge wa jimbo la Ubungo Saed Kubenea amepandishwa kizimnani katika mahakama ya Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam hapo jana  Kwa tuhuyma za kutumia lugha chafu dhidi ya mbunge wa Kinondonii Paul Makonda.
Kubenea akitetewa na Mawakili sita alikataa tuhuma hizo dhidi yake ya kwamba alimwita Makonda kuwa "wewe ni mpumbavu, mjinga, " . Kubenea alipewa dhamana na kuachiwa huru na kesi hiyo imeahirishwa mpakia Dec. 29.

Related Posts

Kubenea Apandishwa Kortini
4/ 5
Oleh
Show Comments: OR