Wednesday 23 December 2015

Magufuli Amalizia Uteuzi wake wa Mawaziri Aliwabakiza

Rais Magufuli hivi leo amemalizia uteuzi wake wa mawaziri na manaibu wake amabo hakuwamalizia pindi alipotangaza baraza jipya la kwanza la  Mawaziri katika awamu yake ya Tano.

Uteuzi
1. Professa Jumanne Maghembe -  Waziri wa Maliasili na Utalii
2. Dkt. Philip Mpango - Waziri wa Fedha na Mipango 9ni baada ya kteuliwa kuwa Mbunge)
3. Mhandisi Gerson Lwenge - Waziri wa Maji na Umwagiliaji
4. Dkt. Joyce Naelichako - Waziri wa Elimu, Sayansi, Tekinolojia, na Ufundi (ni baada ya kuteuliwa kuwa Mbunge)
5, Mh. Hamad Masauni - Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
6. Prof. Makame Mbarawa - Amehamishwa kutoka Wizara ya Naji na Umwagiliaji na kwenda Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
Katika hatua nyingine Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewatakia heri watanzania wote katika Sikukuu za Maulid, Christmas na Mwaka Mpya na kuwataka washerehekee kwa amani na utulivu.
Gerson Msigwa Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU 23 Desemba, 2015

Related Posts

Magufuli Amalizia Uteuzi wake wa Mawaziri Aliwabakiza
4/ 5
Oleh
Show Comments: OR