Monday 20 June 2016

FINALI NBA: Cleveland Caveliers watwaa Taji ya NBA - VIDEO

Cleveland Caverliers wametwaa taji kwa mara nyingine tena Baada ya kuifunga Golden State Warriors vika93 - 89 katika finali ya mchezo wa 7 uliochezwa siku ya Jumapili Usiku.
 Huu utakuwa ni ushindi mkubnwa wa kwanza tangu wachukua Championship mwak 1964
Lebron James alitajw kama MVP katika finali hiyo baada ys kushinda vikapu 27



James hakusita kutoa machozi baada ya kuiokoa timu yake na kuipatia timu yake ushindidhdi ya Warriors
"Cleveland, this is for you!" James, an Akron, Ohio, native,walipiga kelele huku wakitokwa na machozi baada ya kupata ushindi huo.
Lebron James alitajwa kama MVP katika finali hiyo baada ya kushinda vikapu 27, rebound 11 na assist 11 kama mchezaji bora katika finali hizo.
Katika FInali hizi hapo mwanzo Golden Warriros waliongoza Finali hizo kwa michezo 3 -1 dhidi ya Cavs.

Related Posts

FINALI NBA: Cleveland Caveliers watwaa Taji ya NBA - VIDEO
4/ 5
Oleh
Show Comments: OR