Wednesday 20 July 2016

Liverpool Yasajili Kiungo Mpya kutoka Augsburg....

Klabu ya Liverpool imemsajili kiungo mkabaji Ragnar Klavan kwa ada ya paund 4.2 Milion ikiwa kwa mkataba wa miaka mitatu.
Klavern (30) kutoka Estonia ameichezea Augsburg mara 100 na pia amecheza misimu 4 ligi ya Bundesliga, mchezaji huyo akiiambia tovuti ya Klabu ya hiyo alisema kuwa ni heshima kubwa kwake kujiunga na klabu ya Liverpool. na kwamba ilikuwa ni ni ndoto kwake kwa miaka 22 mbele kucheza ligi kuu ya Uingereza.
Liverpool imemsajili mchezaji huyu ili kuziba nafasi za wachezaji waliopatwa na majeraha kama vile Mamadou Sakho na Joe Gomez.

Related Posts

Liverpool Yasajili Kiungo Mpya kutoka Augsburg....
4/ 5
Oleh
Show Comments: OR