Tuesday 10 May 2016

Nauli za Mabasi yaendayo Kasi Zatangazwa....

Mamlaka ya Usafiri wa nchi kavu na majini Sumatra imetangazi nauli mpya zitakazotumika kwa Mabasi yaendayo haraka jiijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi mkuu wa Sumatra Gillard Ngewe amesema kuwa mradi huo ambao umekwishaanza siku ya leo utasafirisha watu bure jumanne ambayo ni leo na Jumatano, mradi huo utakuwa na nauli zifuatazo; sh. 400, 650 na 800. huku wanafunzi wakilipa Sh.200 tu bila kujali umbali.

Related Posts

Nauli za Mabasi yaendayo Kasi Zatangazwa....
4/ 5
Oleh
Show Comments: OR