Monday 15 August 2016

Rais wa Zambia Atangazwa Mshindi Uchaguzi Mkuu

Rais wa Zambia Edger Lungu ametangazwa mshindi wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Urais nchini humo.
Edgar Lungu alishida kwa asilimia 50.35 ya kura huku mpinzani wake Hakainde Hichilemi ambae ni mfanya biashara mkubwa nchini humo aliyeshnda kwa asilimia 47.67 kama Tume ya Uchaguzi ilivyotangaza.
Chama cha Upinzani upande wa Hichilema UNPD kilijitoa mapepma katika uhakiki wa kura zilizopigwa na raia wa nchi hiyo kwa madai kuwa uchaguzi huo ulikuwa na udanganyifu mkubwa.
Uchaguzi mkuu wa Urais Zambia ulifanyika siku ya Alhamis wiki iliyopita.

Related Posts

Rais wa Zambia Atangazwa Mshindi Uchaguzi Mkuu
4/ 5
Oleh
Show Comments: OR