Saturday 16 July 2016

Maelfu ya Wanajeshi Washikiliwa Uturuki Baada ya Jaribio la Kupindua Nchi Kufeli....



Yildirim ambae ni Waziri Mkuu nchini Uturuki ameeleza kuwa tukio hilo la Mapinduzi limekuwa doa kwa Demokrasia nchini humo.
karibu Wanajeshi 2889 wanashikiliwa pamoja na Maafisa wa Ngazi za Juu baadaya mpango wa kufanya Mapinduzi nchini humo kugomga mwamba.

Jaribio hilo la Mapinduzi halikufanikiwa nchini humo alieleza Jenerali Umit Dundar huku waliopanga njama hiyo 104 wakiuwawawa kutokana tukio hilo. Huku wengine 161  ambao ni polisi pamoja na Raia wamekufa wakati wakupigania uhuru wanchi hiyo na 1440 wakielezwa kuwa na Majeraha
Milio ya risasi na milipuko ya mabomu ilisikika Usiku mima katika miji ya Ankara na Istanbul ambapo inasadikika wanajeshi Zaidi ya 1500 walikamatwa.

Related Posts

Maelfu ya Wanajeshi Washikiliwa Uturuki Baada ya Jaribio la Kupindua Nchi Kufeli....
4/ 5
Oleh
Show Comments: OR