Friday 17 June 2016

Finali NBA: Cleveland Yasonga Mbele Kuendelea na Finali ya Mchezo wa 7 - Video

Ikiwa ni finali ya 6 mchezo uliochezwa Alhamis usiku, 16 June. 2106, Lebron James aliongoza kwa vikapu 41, rebound 11 na kuiiwezesha timu yake Cleveland kusonga mbele  kuelekea finali ya mchezo wa saba baada ya kushinda vikapu 115 - 101 dhidi ya Golden State Warriors.

Stephen Curry aliishindia timu yake Warriors vikapu 30 kabla ya kutolewa nje ya mchezo katika mzunguko wa 4 baada ya kufikisha rafu sita alizocheza katika kipindi hicho.
Tazama hapa High lights nzima za Finalo ya 6 ya NBA

Related Posts

Finali NBA: Cleveland Yasonga Mbele Kuendelea na Finali ya Mchezo wa 7 - Video
4/ 5
Oleh
Show Comments: OR