
Dimond Platnumz alishinda tuzo 2 ambazo ni video bora ya mwaka, na wimbo bora una sikilizwa Zaidi.
Mzee Yusufu akipata tuzo 2 ambazo ni mwimbaji bora wa kiume katika taarabu na mtunzi bora wa taarabu.
Joh Makini nae alipata tuzo 2 : Mtunzi bora wa nyimbo za hip hop na msanii bora wa mwaka wa hip hop.
Vanessa Mdee alishinda tuzo 2: Mtumbizaji bora wa muziki wa kike na mwimbaji bora wa kike wa bongo fleva.
Isha Mashaiuzi hakua nyuma nae alishinda tuzo 2: Wimbo bora wa mwaka wa taarabu na mwimbaji bora wa kike wa taarabu.
Isha Mashaiuzi hakua nyuma nae alishinda tuzo 2: Wimbo bora wa mwaka wa taarabu na mwimbaji bora wa kike wa taarabu.
Jose Mara nae alishinda tuzo 2: Mwimbaji bora wa kiume katika bendi na Mtunzi bora wa nyimbo kwa upande wa bendi.
Profesa J. alishinda tuzo 1 ya wimbo bora wa hip hop, pamoja na NahReel ambaye alishinda tuzo1: Mtayarishaji bora wa bongo fleva.
Jux alishinda tuzo 1 : wimbo bora wa mwaka RNB
Jux alishinda tuzo 1 : wimbo bora wa mwaka RNB
Baraka Da Prince alinyakua tuzo 1: msanii bora chipukizi,
Mrisho Mpoto alishinda tuzo 1: wimbo bora wenye vionjo vya asili ya kitanzania.
Enrico nae slishinda tuzo 1: Mtayarishaji bora wa nyimbo za taarabu.
Ferguson alishinda tuzo 1 kama rapa bora katika bendi.
Amiroso nae tuzo 1: mtayarishaji bora wa mwaka
Mrisho Mpoto alishinda tuzo 1: wimbo bora wenye vionjo vya asili ya kitanzania.
Enrico nae slishinda tuzo 1: Mtayarishaji bora wa nyimbo za taarabu.
Ferguson alishinda tuzo 1 kama rapa bora katika bendi.
Amiroso nae tuzo 1: mtayarishaji bora wa mwaka
Yamoto band nao walishinda tuzo 1: kundi bora la mwaka,
Jahazi modern teerabu walishinda tuzo 1: kundi bora kwa upande wa taarabu wakiwakilishwa na Mzee Yusufu ,
Fm academia nao tuzo 1: bendi bora ya mwaka
Kolabo bora ya mwaka ilienda kwa Mwana Fa na Ali kiba
Wimbo bora wa Kiswahili kwa upande wa bendi tuzo ilikwenda kwa: bendi ya Vijana wa Ngwasuma
Wimbo bora wa Kiswahili kwa upande wa bendi tuzo ilikwenda kwa: bendi ya Vijana wa Ngwasuma
Tuzo nyingine zilikua, pia tuzo ya wimbo bora wa Africa Mashariki ilikwenda kwa kundi la Sauti Solo,
Tuzo ya wimbo bora wa rege /dance hall ilikwenda kwa Maua Sama.
Tuzo ya wimbo bora wa rege /dance hall ilikwenda kwa Maua Sama.
ALI KIBA AONGOZA KWA USHINDI WA TUZO 5 ZA KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS(KTMA)
4/
5
Oleh
kwetutz24