Saturday 20 August 2016

Man United Yiadhibu Southampton

Magoli Mawili yaliyofungwa na Ziltan Ibromovich yaliiwezesha timu hiyo kupata ushindi dhidi ya Southampton katika mechi ligi kuu ya Uingereza iliyochezwa hapo jana.
Hivyo Man United kujinyakulia point tatu mkononi dhidi ya southampton.
Kocha Jose Mournho amesifia Paul Pogba moja ya wachezaji waliouzwa kwa gharama kubwa mwaka huu kwa ada ya paundi 89 milioni, alifungua mechi yake ya kwanza baada ya kucheza kwa umahiri mkubwa zaidi ya wachezaji wengine katika timu hiyo, ambapo aliweza kukamilisha pasi (71), alizogusa  (103), huku shots zikiwa  (4).

Related Posts

Man United Yiadhibu Southampton
4/ 5
Oleh
Show Comments: OR