Wednesday 22 June 2016

Ibromovic Astaafu Soka La Kimataifa...

Mchezaji wa Sweden Ziltan Ibromovic aliyekuwa akiichezea klabu ya PSG Paris ametangaza rasmi kustaafu sola la kimataifa baada ya kumalizika kwa michuano ya Euro 2016.
Manchester United imekuwa ikitajwa kuwania saini ya mchezaji huyu baada ya michuano ya Euro 2016.

Related Posts

Ibromovic Astaafu Soka La Kimataifa...
4/ 5
Oleh
Show Comments: OR