Tuesday 16 February 2016

Vigogo Wanne wa Bodi ya Mikopo Wasimamishwa Kazi.

Waziri wa Elimu, Sayansi, Tekinolojia na Ufundi, Prof. Joice Ndalichako amemsimamisha kazi Mkurugenzi mtendaji wa Bodi ya mikopo wa elimu ya juu (HESLB) George Nyatenga kutokana na utendaji wake wa kazi usioridhisha.
waliotajwa wengine bkufutwa kazi ni pamoja na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala Yusufu Kisare, Mkurugenzi wa Urejeshaji Mikopo, Juma Chagonja pamoja na Mkurugenzi wa Upangaji na Utoaji Mikopo, Onesmo Laizer.
Tazama video hapa chini.

Related Posts

Vigogo Wanne wa Bodi ya Mikopo Wasimamishwa Kazi.
4/ 5
Oleh
Show Comments: OR