Friday 11 December 2015

Yaya Toure ashinda Tuzo ya Mwanasoka bora wa Mwaka Africa (BBC Africa Foot Baller of the year awards 2015)

Mwanasika  huyo mwenye umri miaka 32 kutoka Ivory Coast amekua mchezaji wa tatu kushinda tuzo hizo baada ya mnigeria Nwanko Kanu na Jay Jay Okocha kupokea heshima hiyo mara mbili.
Mashabiki wake walimpigia kura mchezaji huyo kutoka Manchester City  ambapo mwaka 2013 alijinyakulia ushind kwa mara ya kwanza mbele ya Yacine Brahimi, Pierre Emenekaubamayang Andre, Andrew Ayew na Sadio Mane.
Akizungumza na BBC  Toure alijisikia furaha kupokea zawadi hiyo na hakuamini kama zawadi hiyo ingetokana  mashabiki wake.
Amesema kuwa atakwenda kutoa msaada kwa washindani wengine,na kusema kuwa mpira wa Afrika unakua na unazidi kuwa mzuri na tunawachezaji wadogo wenye uwezo na mahir ambaoi wanazidi wanaibuka.I
 

Related Posts

Yaya Toure ashinda Tuzo ya Mwanasoka bora wa Mwaka Africa (BBC Africa Foot Baller of the year awards 2015)
4/ 5
Oleh
Show Comments: OR