Monday 25 April 2016

Papa Wemba Star wa Muziki Amefariki Dunia Baada ya Kudondoka kwenye Stage....

Mwanamziki Maarufu Duniani mataalam kwa nyimbo aina ya Soukus, Papa Wemba umri miaka 66 amefariki hapo jana akiwa Ivory Cost.
Taarifa zinasema kuwa Mwanamziki huyo akiwa Ivory Coast hapo jana video zilizokuwa zikitumika kuonyesha maonyesho yake zinasema kuwa Wemba alidondoka akiwa kwenye stage nyuma ya madancers wake.
Papa Wemba atakumbukwa sana kwa nyimbo zake za miondoko ya Kiafrika, Cuba na nyimbo za kimagharibi.

Related Posts

Papa Wemba Star wa Muziki Amefariki Dunia Baada ya Kudondoka kwenye Stage....
4/ 5
Oleh
Show Comments: OR