Wednesday 27 April 2016

Lucy Kibaki Afariki Akiwa London..

Aliyekuwa Mke wa kwanza wa Rais, Lucy Kibaki nchi Kenya amefariki siku ya Jumanne, April 26 akiwa London katika hospitali iliyojukikana kwa jina la Bupa Cromwell hospital iliyoko huko London akitibiwa.
Kibaki amefariki kutoka na ugonjwa usio julikana uliokuwa ukimsumbua kwa mwezi tangu alipotolewa kutoka hospiali ya Kenya siku ya Juamamosi April 23 na kuhamishiwa London kwa matibabu zaidi.
Aliyekuwa Rais wa Kenya Mwai Kibaki, pamoja na mawe Judy na Antony walikuwa karibu yake mpaka kifo kilipomkuta.
Lucy alipata umaarufu kwa kumchapa kofi mpiga picha mmoja mwaka 2005 wakati alipovamia afisi za kituo kimoja cha habari mwaka 2005 akikasirishwa na vile habari moja ilivyoandikwa.
Lucy alizaliwa mwaka 1940, hakuweza kuoneka hadharani tena tangu mume wake Mwai Kibaki aachie Uongozi kwa Uhuru Kenyata, mara ya mwisho kuonekana ilikuwa ni 2010, wakati alipofurahishwa na kupatikana kwa katiba mpya.


Related Posts

Lucy Kibaki Afariki Akiwa London..
4/ 5
Oleh
Show Comments: OR