Monday 29 June 2015

# BET Awards Na PICHA. Jinsi Ilivyo Onekana!

 Hivi ndivyo tuzo za BET AWARDS 2015 zilivyo onekana. Chris Brown akiimba kwenye stage huku akitambulisha ngoma yake mpya ya "Liquor"



Chris Brown  akitimbuiza kwenye stage akitambulisha single yake ya "Liquor"



sam smith kulia mwishon na tuzo yake

Piddy akipafom kwenye stage

Nick Minaj kwenye red kapet

Kanye West akiwa na mke wake Kim Kadashian

Chris kwenye red Kapet

NIck akipafom wimbo "bang bang"

Nick akiwa amebeba tuzo yake.
Pharell williums

Janet Jackson akiwa amebeba tuzo yake mkononi


Related Posts

# BET Awards Na PICHA. Jinsi Ilivyo Onekana!
4/ 5
Oleh
Show Comments: OR